9/11/08

Joy ndani ya uwanja mkuu wa taifa akifatilia mechi ya stars na wacameroon mlima kilimanjaro kama unavoonekana angani
Mr blue atoka ugaibuni
kumbe wanacheka pamoja, ni nchimbi mwenyekiti wa uvccm na hasimu wake nape nahuye mlipua mabomu nape nahuye
Joymertha ishengoma akiwa katika pozi Franky theodiry akiwa katika pozi siku ya birthday yake, hongera franky
Dr, Bishanga, Dr, Eric, na Melline wakitoka nje ya jengo alimoishi Livingstone
Hii ndio nyumba inayo aminika kuwa aliishi David livingstone, nyumba hii iko nje kidogo ya manispaa ya Tabora
Bosi wa mradi wa Engender Health-CHAMPION PROJECT Dr. Eric na Mellanier Yahner wakiingia kwenye nyumba alimoishi David Livingstone nje kidogo ya manispaa ya Tabora hivi karibuni
Dr. bishanga akiwa flamingo mgahawa uliopo uwanja wa ndege wa jk nyerere mala baada ya ndege ya shirika la precision kuchelewa kuruka kuelekea tabora, abiria walikaa uwanjani masaa 9

9/1/08

mtaalam akiwatambulisha wageni siku ya send off ya mdogo wake anchila theodory
Bi anchila theodory siku ya send off yake
mtaalam frank akiwashukuru wageni waliofika kwenye graduu yake
wadau waliowezesha uzinduzi wa miss afrika uk wakimsikiliza mgeni rasmi mh. kamala, kutoka kulia ni, Dr. dastan bishanga, mrs greyson, mkuu wa wilaya ya mabibo mtaalam frank, na enjinia greyson

Dr kamala waziri wa afrika mashariki akizindua mchakato wa miss afrika uk, wengine katika picha ni ssebo msemaji wa kamati, katibu deo rweyunga na mwenyekiti allan karinga

wadau humu ni ndani ya air bus
Mtaalam ndani ya Air bus ndege mpya ya ATC akitoka kwenye utafiti mwanza