wellcome to my blog page,you are asked to give out your views embedded with comments, "waitu nyegela na akanyeto"
6/27/08
MH. DR KAMALA waziri wa afrika mashariki na mbunge wa jimbo la nkenge na wife wake mama ketty walikuwepo kwenye hafla ya kumpongeza mtaalam frank kwa kuweza kuhitimu degree yake
Hapa mtaalam frank akimlisha mama yake THEONESTINA RWECHUNGURA KEKI, kushoto kwa mama ni rafiki yake frank, richard, kulia kwa mama ni afred na uncle wake frank mwalimu JOSEPH.
Naam wadau huyu ndiye mwenyewe haswa mtaalam FRANK THEODORY hapa ni baada ya kutunukiwa degree yake ya kwanza ya mambo ya geografia na mazingira. Hongera sana MTAALAM.
Mama ajuna "MRS MUSHUMBUSI" akiwa na ajuna siku ya birthday ya aunt yangu AJUNA
6/13/08
My aunt ajuna ametimiza mwaka mmoja happy birth day Ajuna